Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!


Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.


kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.


Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,


atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.


Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;


Malaika wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.