Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:72 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ili kuwatendea rehema baba zetu, Na kulikumbuka agano lake takatifu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka agano lake takatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka agano lake takatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka agano lake takatifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili kuonesha rehema kwa baba zetu na kukumbuka agano lake takatifu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili kuonyesha rehema kwa baba zetu na kukumbuka Agano lake takatifu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili kuwatendea rehema baba zetu, Na kulikumbuka agano lake takatifu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:72
21 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.


na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia; kwa sababu umetii sauti yangu.


Nitazidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, nami nitawapa uzao wako nchi hizi zote, na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia.


Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.


Agano alilofanya na Abrahamu, Na kiapo chake kwa Isaka;


Maana alilikumbuka neno lake takatifu, Na Abrahamu, mtumishi wake.


Akawakumbukia agano lake; Akawahurumia kwa wingi wa fadhili zake;


Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.


Amezikumbuka rehema zake, Na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli. Miisho yote ya dunia imeuona Wokovu wa Mungu wetu.


Walakini nitalikumbuka agano langu nililolifanya pamoja nawe, katika siku za ujana wako, nami nitaweka imara agano la milele pamoja nawe.


Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama, wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nilikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.


ndipo nitakapokumbuka agano langu pamoja na Yakobo, tena agano langu na Isaka, tena agano langu na Abrahamu nitalikumbuka; nami nitaikumbuka nchi hiyo.


Wewe utamtimilizia Yakobo kweli yako, na Abrahamu rehema zako, ulizowaapia baba zetu tangu siku za kale.


Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili ya baba zetu.


ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;