Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 9:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye BWANA akaweka muda, akasema, Kesho BWANA atalifanya jambo hili katika nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena, Mwenyezi-Mungu akaweka wakati maalumu akisema, “Kesho mimi Mwenyezi-Mungu nitatekeleza jambo hilo nchini Misri.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena, Mwenyezi-Mungu akaweka wakati maalumu akisema, “Kesho mimi Mwenyezi-Mungu nitatekeleza jambo hilo nchini Misri.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena, Mwenyezi-Mungu akaweka wakati maalumu akisema, “Kesho mimi Mwenyezi-Mungu nitatekeleza jambo hilo nchini Misri.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akaweka wakati na kusema, “Kesho Mwenyezi Mungu atalitenda hili katika nchi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akaweka wakati na kusema, “Kesho bwana atalitenda hili katika nchi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye BWANA akaweka muda, akasema, Kesho BWANA atalifanya jambo hili katika nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 9:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona nyakati zisiwekwe na Mwenyezi? Na hao wamjuao mbona hawazioni siku zake?


Au, kwamba wakataa kuwapa hao watu wangu ruhusa waende zao, tazama, kesho nitaleta nzige waingie ndani ya mipaka yako;


Nami nitatia mpaka kati ya watu wangu na watu wako; ishara hiyo italetwa kesho.


Tazama, kesho wakati kama huu, nitanyesha mvua ya mawe nzito sana, ambayo mfano wake haujakuwa huko Misri tangu siku ile ilipoanza kuwa hata hivi sasa.


Kisha BWANA atawatenga wanyama wa Israeli na wanyama wa Misri; wala hakitakufa kitu chochote cha wana wa Israeli.


BWANA akalifanya jambo hilo siku ya pili, na wanyama wote wa kufugwa wa Misri wakafa; lakini katika wanyama wa wana wa Israeli hakufa hata mmoja.


kisha akanena na Kora na mkutano wake wote, akawaambia, Asubuhi BWANA ataonesha ni kina nani walio wake, kisha ni nani aliye mtakatifu, tena ni nani atakayemkaribisha kwake; maana, yeye atakayemchagua ndiye atakayemsongeza kwake.