Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 8:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Musa akatoka kwa Farao, akamwomba BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mose akaondoka nyumbani kwa Farao, akamwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mose akaondoka nyumbani kwa Farao, akamwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mose akaondoka nyumbani kwa Farao, akamwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Musa akamwacha Farao na kumwomba Mwenyezi Mungu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Musa akamwacha Farao na kumwomba bwana,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa akatoka kwa Farao, akamwomba BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 8:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka kwa Farao, na kumwomba BWANA.


Basi Musa na Haruni wakatoka kwa Farao; Musa akamlilia BWANA katika jambo la hao vyura aliokuwa amewaleta juu ya Farao.


BWANA akafanya kama neno la Musa, akawaondoa wale inzi wabaya kwake Farao, na kwa watumishi wake, na watu wake; hakusalia hata mmoja.


Musa akatoka mjini, kutoka kwa Farao, akamwinulia BWANA mikono yake; na zile ngurumo na ile mvua ya mawe zikakoma, wala mvua haikunyesha juu ya nchi.


Basi ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Sala yake mwenye haki ina nguvu nyingi, na hutenda mengi.