Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akafanya sawasawa na neno la Musa; na hao vyura wakafa kutoka katika zile nyumba, na katika viwanja, na katika mashamba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akafanya kama Mose alivyomwomba: Vyura wakafa majumbani, viwanjani na kwenye kumbi za nyumba na katika mashamba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akafanya kama Mose alivyomwomba: Vyura wakafa majumbani, viwanjani na kwenye kumbi za nyumba na katika mashamba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akafanya kama Mose alivyomwomba: vyura wakafa majumbani, viwanjani na kwenye kumbi za nyumba na katika mashamba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Mwenyezi Mungu akafanya lile Musa alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye bwana akafanya lile Musa alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akafanya sawasawa na neno la Musa; na hao vyura wakafa kutoka katika zile nyumba, na katika viwanja, na katika mashamba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 8:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani kazi yao ilikuwa kuwangojea wana wa Haruni katika utumishi wa nyumba ya BWANA, nyuani, na vyumbani, na kwa kuvisafisha vitakatifu vyote, ndiyo kazi ya utumishi wa nyumba ya Mungu;


Alisema, kukaja makundi ya mainzi, Na chawa katika nchi yao yote.


Hao vyura wataondoka kutoka kwako wewe na nyumba zako, na watumishi wako, na watu wako; watasalia mtoni tu.


Basi Musa na Haruni wakatoka kwa Farao; Musa akamlilia BWANA katika jambo la hao vyura aliokuwa amewaleta juu ya Farao.


Wakawakusanya marundo marundo; na nchi ikatoa uvundo.