Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 7:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akanena na Musa na Haruni, akawaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa na Haruni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa na Haruni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akanena na Musa na Haruni, akawaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 7:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Musa alikuwa ni mtu wa miaka themanini umri wake, na Haruni alikuwa ni mtu wa miaka themanini na mitatu, hapo waliponena na Farao.


Farao atakaponena nanyi, na kuwaambia, Jifanyieni miujiza; ndipo utakapomwambia Haruni, Shika fimbo yako, uibwage chini mbele ya Farao, ili iwe nyoka.


na ishara zake, na kazi zake alizomfanya Farao mfalme wa Misri, na nchi yake yote, katikati ya Misri;