Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 7:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Musa na Haruni wakafanya vivyo hivyo; kama BWANA alivyowaambia, ndivyo walivyofanya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mose na Aroni wakafanya hivyo; naam, walifanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mose na Aroni wakafanya hivyo; naam, walifanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mose na Aroni wakafanya hivyo; naam, walifanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaamuru.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa na Haruni wakafanya sawasawa na jinsi Mwenyezi Mungu alivyowaamuru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa na Haruni wakafanya sawasawa kama vile bwana alivyowaagiza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa na Haruni wakafanya vivyo hivyo; kama BWANA alivyowaambia, ndivyo walivyofanya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 7:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia; kwa sababu umetii sauti yangu.


Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.


Nuhu akafanya kama vile BWANA alivyomwamuru.


Wewe umetuamuru mausia yako, Ili sisi tuyatii sana.


Basi wana wa Israeli wakaenda na kufanya mambo hayo; vile vile kama BWANA alivyowaamuru Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya.


Musa akaiona hiyo kazi yote, na tazama, walikuwa wameimaliza; vile vile kama BWANA alivyoagiza, walikuwa wameifanya vivyo hivyo; basi Musa akawaombea heri.


Musa akafanya hayo yote; kama BWANA aliyoagiza ndivyo alivyofanya yote.


Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya vivyo hivyo kama BWANA alivyowaambia; Haruni akaibwaga fimbo yake chini mbele ya Farao, mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka.


Utanena hayo yote nikuagizayo; na ndugu yako Haruni atanena na Farao, ili awape wana wa Israeli ruhusa watoke nchi yake.


Musa na Haruni wakafanya hivyo, kama BWANA alivyowaambia; naye akaiinua ile fimbo, na kuyapiga maji yaliyokuwa mtoni, mbele ya Farao, mbele ya watumishi wake; na hayo maji yote yaliyokuwa katika mto yakageuzwa kuwa damu.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.