Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 7:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Zikatimia siku saba, baada ya BWANA kuupiga ule mto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pigo hilo la mto Nili lilidumu siku saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pigo hilo la mto Nili lilidumu siku saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pigo hilo la mto Nili lilidumu siku saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zilipita siku saba baada ya Mwenyezi Mungu kuyapiga maji ya Mto Naili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zilipita siku saba baada ya bwana kuyapiga maji ya Mto Naili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Zikatimia siku saba, baada ya BWANA kuupiga ule mto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 7:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Gadi akamwendea Daudi, akamweleza, akamwambia, Basi, miaka saba ya njaa ikujie katika nchi yako? Au miezi mitatu ukimbie mbele ya adui zako, huku wakikufuatia? Au siku tatu iwe tauni katika nchi yako? Amua sasa, ufikiri, ni jawabu gani nimrudishie yeye aliyenituma.


hawakupata kuonana mtu na mwenziwe, wala hakuondoka mtu mahali alipokuwa muda wa siku tatu; lakini wana wa Israeli wote walikuwa na mwanga makaoni mwao.


Wamisri wote wakachimbachimba kando ya mto ili wapate maji ya kunywa; maana, hawakuweza kuyanywa yale maji ya mtoni.


BWANA akamwambia Musa, Ingia kwa Farao, ukamwambie, BWANA asema hivi, Wape watu wangu ruhusa, ili wapate kunitumikia.