Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 6:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao watoto wa kiume wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa mababu wa jamaa za Kora.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao watoto wa kiume wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa mababu wa jamaa za Kora.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao watoto wa kiume wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa mababu wa jamaa za Kora.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu. Hizo zilikuwa koo za Kora.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Kora walikuwa: Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 6:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Elkana, na Ishia, na Azaleli, na Yoezeri, na Yashobeamu, Wakora;


Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Maskani zako zapendeza kama nini, Ee BWANA wa majeshi!


Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.


Basi Kora, mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, akatwaa watu, pamoja na Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni, mwana wa Pelethi, waliokuwa wana wa Reubeni;


nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na watu wa nyumba zao na wote walioshikamana na Kora, na vyombo vyao vyote.


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu