Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 6:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Hao ndio mababu wa jamaa za Walawi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Hao ndio mababu wa jamaa za Walawi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Hao ndio mababu wa jamaa za Walawi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Hizo zilikuwa koo za Lawi, kulingana na orodha zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 6:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Merari; Mali na Mushi. Wana wa Mali; Eleazari, na Kishi.


Wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi, watu watatu.


Wana wa Merari; Mali na Mushi; wana wa Yaazia; Beno.


Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.


Na wana wa Lawi walikuwa ni hawa kwa majina yao; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.


Na wana wa Merari kwa kufuata jamaa zao walipata miji kumi na miwili katika kabila la Reubeni, na katika kabila la Gadi, na katika kabila la Zabuloni.