Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 6:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka mia moja na thelathini na tatu (133).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 6:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia moja kumi na wawili.


Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.


Musa akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjombaye Haruni, na kuwaambia, Njoni karibu, mwachukue hawa ndugu zenu, mkawaondoe hapa mbele ya maskani, mwende nao nje ya kambi.


Na hao waliohesabiwa katika Walawi kwa jamaa zao ni hawa; wa Gershoni, jamaa ya Wagershoni; na wa Kohathi, jamaa ya Wakohathi; na wa Merari, jamaa ya Wamerari.


Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.