Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 6:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana wa Gershoni; ni Libni, na Shimei, kulingana na jamaa zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wana wa Gershoni walikuwa: Libni na Shimei; jamaa zao zilitajwa kwa majina yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wana wa Gershoni walikuwa: Libni na Shimei; jamaa zao zilitajwa kwa majina yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wana wa Gershoni walikuwa: Libni na Shimei; jamaa zao zilitajwa kwa majina yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Gershoni kwa koo walikuwa: Libni na Shimei.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa: Libni na Shimei.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Gershoni; ni Libni, na Shimei, kulingana na jamaa zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 6:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Wa Wagershoni; Ladani, na Shimei.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.


Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;


Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.


Tena wana wa Gershoni walipata kwa kura miji kumi na mitatu katika jamaa za kabila la Isakari, na katika kabila la Asheri, na katika kabila la Naftali, na katika hiyo nusu ya kabila la Manase huko Bashani.