Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 40:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akalitia pazia la mlango wa maskani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitundika pazia kwenye mlango wa hema takatifu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitundika pazia kwenye mlango wa hema takatifu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitundika pazia kwenye mlango wa hema takatifu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la maskani ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akalitia pazia la mlango wa maskani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 40:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akafukiza juu yake uvumba wa manukato kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Akaiweka madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa mlangoni pa maskani ya kukutania, akatoa sadaka ya kuteketezwa juu yake, na sadaka ya unga; kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Kisha utaisimamisha madhabahu ya dhahabu kwa kufukizia uvumba mbele ya sanduku la ushuhuda, na kulitia pazia mlangoni mwa hiyo maskani.


Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.