Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 4:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana arusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Mwenyezi-Mungu akamwacha Mose. Zipora alikuwa amesema, “Bwana harusi wa damu,” kwa sababu ya kutahiri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Mwenyezi-Mungu akamwacha Mose. Zipora alikuwa amesema, “Bwana harusi wa damu,” kwa sababu ya kutahiri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Mwenyezi-Mungu akamwacha Mose. Zipora alikuwa amesema, “Bwana harusi wa damu,” kwa sababu ya kutahiri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Sipora alipomwita Musa, “Bwana arusi wa damu”, alikuwa anamaanisha ile tohara.) Baada ya hayo Mwenyezi Mungu akamwacha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sipora alipomwita Musa, “Bwana arusi wa damu,” alikuwa anamaanisha ile tohara. Baada ya hayo bwana akamwacha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana harusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 4:26
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Sipora akashika jiwe gumu lenye makali na kulikata govi ya zunga la mwanawe, na kulibwaga miguuni pa Musa akasema. Hakika wewe ni bwana arusi wa damu kwangu.


BWANA akamwambia Haruni, Nenda jangwani uonane na Musa. Naye akaenda, akamkuta katika mlima wa Mungu, akambusu.