Na ile miti kwa kuwa mirefu, ncha za miti zilionekana katika mahali patakatifu, mbele ya chumba cha ndani; lakini hazikuonekana nje; nayo iko kuko huko hata leo.
Kutoka 37:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Akafanya na miti ya kulichukulia, ya mti wa mshita akaifunika dhahabu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Alitengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka dhahabu. Biblia Habari Njema - BHND Alitengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka dhahabu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Alitengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka dhahabu. Neno: Bibilia Takatifu Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu. Neno: Maandiko Matakatifu Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu. BIBLIA KISWAHILI Akafanya na miti ya kulichukulia, ya mti wa mshita akaifunika dhahabu. |
Na ile miti kwa kuwa mirefu, ncha za miti zilionekana katika mahali patakatifu, mbele ya chumba cha ndani; lakini hazikuonekana nje; nayo iko kuko huko hata leo.
na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo, na miti ya mjohoro,
Naye akatengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili yake, katika miguu yake minne; pete mbili upande wake mmoja na pete mbili upande wake wa pili.
Naye akaitia hiyo miti katika zile pete zilizokuwa ubavuni mwa sanduku, ili kulichukua hilo sanduku.
Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.
ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.