Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 36:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwani vile vitu walivyokuwa navyo vilikuwa vyatosha kwa kuifanya kazi hiyo yote, kisha vilizidi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana vile walivyokuwa wameleta vilitosha kwa kazi hiyo na kubaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana vile walivyokuwa wameleta vilitosha kwa kazi hiyo na kubaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana vile walivyokuwa wameleta vilitosha kwa kazi hiyo na kubaki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwani vile vitu walivyokuwa navyo vilikuwa vyatosha kwa kuifanya kazi hiyo yote, kisha vilizidi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 36:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile ile mfalme akaitakasa behewa ya katikati iliyokuwa mbele ya nyumba ya BWANA; kwa kuwa hapo ndipo alipotoa sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya unga, na mafuta ya sadaka za amani; kwa sababu ile madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele za BWANA ilikuwa ndogo, haikutosha kuzipokea sadaka za kuteketezwa, na sadaka za unga, na mafuta ya sadaka za amani.


Azaria kuhani mkuu, wa nyumba ya Sadoki, akamjibu, akasema, Tangu watu walipoanza kuleta matoleo nyumbani kwa BWANA, tumekula na kushiba, na kusaza tele; kwa kuwa BWANA amewabariki watu wake; na kilichosalia ndiyo akiba hii kubwa.


Basi Musa akatoa amri, nao wakatangaza mbiu katika kambi yote, wakisema, Wasifanye kazi tena, mwanamume wala mwanamke, kwa ajili ya matoleo kwa mahali patakatifu. Basi watu wakazuiwa wasilete tena.