Kutoka 36:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC
Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;
Tazama sura
Matoleo zaidi
Mose alimwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Mwenyezi-Mungu, na kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kufanya kazi kwa hiari.
Tazama sura
Mose alimwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Mwenyezi-Mungu, na kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kufanya kazi kwa hiari.
Tazama sura
Mose alimwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Mwenyezi-Mungu, na kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kufanya kazi kwa hiari.
Tazama sura
Ndipo Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Mwenyezi Mungu alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
Tazama sura
Ndipo Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
Tazama sura
Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;
Tazama sura
Tafsiri zingine