Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 36:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye akaunganya mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akayaunganisha mapazia matano pamoja, na mapazia sita pamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akayaunganisha mapazia matano pamoja, na mapazia sita pamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akayaunganisha mapazia matano pamoja, na mapazia sita pamoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 36:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Urefu wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa nne; hayo mapazia yote kumi na moja yalikuwa ya kipimo kimoja.


Kisha akafanya matanzi hamsini katika upindo wa pazia lililo upande wa nje katika kile kiungo, naye akafanya matanzi hamsini katika ncha ya pazia lililokuwa upande wa nje katika kiungo cha pili.