Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 29:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

nawe mvike kile kilemba kichwani, na lile taji takatifu utalitia katika kile kilemba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena utamvika kile kilemba kichwani na kuweka juu ya hicho kilemba ile taji takatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena utamvika kile kilemba kichwani na kuweka juu ya hicho kilemba ile taji takatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena utamvika kile kilemba kichwani na kuweka juu ya hicho kilemba ile taji takatifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Weka kilemba kichwani mwake na kuweka taji takatifu lishikamane na hicho kilemba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Weka kilemba kichwani mwake na kuweka taji takatifu ishikamane na hicho kilemba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nawe mvike kile kilemba kichwani, na lile taji takatifu utalitia katika kile kilemba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 29:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na mavazi watakayoyafanya ni haya; kifuko cha kifuani, na naivera, na joho, na kanzu ya kazi ya urembo; na kilemba, na mshipi; nao watawafanyia Haruni nduguyo, na wanawe, mavazi matakatifu ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.


wala asitoke katika mahali patakatifu, wala asipatie unajisi mahali patakatifu pa Mungu wake; kwa kuwa utakaso wa hayo mafuta ya kutiwa ya Mungu wake uko juu yake; mimi ndimi BWANA.


Akamvika na kile kilemba kichwani mwake; na juu ya kilemba, upande wa mbele, akakitia kile kipande cha dhahabu, hilo taji takatifu; kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Nikasema, Na wampige kilemba kizuri kichwani pake. Basi, wakampiga kilemba kizuri kichwani pake, wakamvika mavazi; naye malaika wa BWANA akasimama karibu.