Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 29:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha utamchinja huyo kondoo dume, na kuitwaa damu yake, na kuinyunyiza katika madhabahu kuizunguka kandokando.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nawe utamchinja na damu yake utairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nawe utamchinja na damu yake utairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nawe utamchinja na damu yake utairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mchinje huyo kondoo dume, chukua damu yake na uinyunyize pande zote za hayo madhabahu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mchinje huyo kondoo dume, chukua damu yake na uinyunyize pande zote za hayo madhabahu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha utamchinja huyo kondoo dume, na kuitwaa damu yake, na kuinyunyiza katika madhabahu kuizunguka kandokando.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 29:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Pia mtwae kondoo dume mmoja; na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo dume.


Kisha utamkatakata kondoo vipande vyake, na kuyaosha matumbo yake na miguu yake, na kuiweka pamoja na vipande vyake na kichwa chake.


Naye atamchinja huyo ng'ombe mbele ya BWANA; kisha wana wa Haruni, hao makuhani, wataileta karibu hiyo damu, na kuinyunyiza damu yake kandokando katika madhabahu iliyo hapo mlangoni pa hema ya kukutania


Naye ataweka mkono wake kichwani mwake huyo aliyemtoa, na kumchinja mlangoni pa hema ya kukutania; na wana wa Haruni, hao makuhani, watainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.