Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 28:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe ukijaze viweko vya vito, safu nne za vito; safu moja itakuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, hivi vitakuwa safu ya kwanza;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kitapambwa kwa safu nne za mawe ya thamani: Safu ya kwanza itakuwa ya akiki, topazi na almasi nyekundu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kitapambwa kwa safu nne za mawe ya thamani: Safu ya kwanza itakuwa ya akiki, topazi na almasi nyekundu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kitapambwa kwa safu nne za mawe ya thamani: safu ya kwanza itakuwa ya akiki, topazi na almasi nyekundu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe ukijaze viweko vya vito, safu nne za vito; safu moja itakuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, hivi vitakuwa safu ya kwanza;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 28:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile mihuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.


Kitakuwa mraba, tena cha kukunjwa; urefu wake utakuwa shubiri moja, na upana wake shubiri moja.


na safu ya pili itakuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi;


Nawe utatwaa vito viwili vya shohamu rangi ya chanikiwiti, nawe utachora juu yake majina ya wana wa Israeli;


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.


Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.


Wakuu wake walikuwa safi kuliko theluji, Walikuwa weupe kuliko maziwa; Miili yao, walikuwa wekundu kuliko marijani, Na umbo lao kama yakuti samawi.


Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari.


Nao watakuwa wangu, asema BWANA wa majeshi, katika siku ile niifanyayo; naam, watakuwa hazina yangu hasa; nami nitawaachilia, kama vile mtu amwachiliavyo mwanawe mwenyewe amtumikiaye.