Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 25:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe subu vikuku vinne vya dhahabu kwa ajili yake, na kuvitia katika miguu yake minne; vikuku viwili upande mmoja, na vikuku viwili upande wake wa pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha utalitengenezea pete nne na kuzitia miguuni pake, kila mguu pete moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha utalitengenezea pete nne na kuzitia miguuni pake, kila mguu pete moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha utalitengenezea pete nne na kuzitia miguuni pake, kila mguu pete moja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe subu vikuku vinne vya dhahabu kwa ajili yake, na kuvitia katika miguu yake minne; vikuku viwili upande mmoja, na vikuku viwili upande wake wa pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 25:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe ulifunike kwa dhahabu safi, ulifunike ndani na nje, nawe tia na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.


Nawe fanya miti mirefu ya mshita na kuifunika dhahabu.


Hiyo miti itakaa katika vile vikuku vya sanduku; haitaondolewa.


Uifanyie vikuku vinne vya dhahabu, na kuvitia vile vikuku katika pembe zake nne, katika miguu yake minne.


Na hizo mbao utazifunika dhahabu, na pete zake za kutilia yale mataruma utazifanya za dhahabu; na hayo mataruma utayafunika dhahabu.


Na hiyo miti itatiwa katika pete, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.


Naye akaitia hiyo miti katika zile pete zilizokuwa ubavuni mwa sanduku, ili kulichukua hilo sanduku.


Naye akaitia ile miti katika vile vikuku vilivyokuwa katika mbavu za hiyo madhabahu, ili kuichukua; akaifanya yenye mvungu ndani, kwa zile mbao.


Nao wakafanya vijalizo viwili vya dhahabu, na pete mbili za dhahabu; nao wakazitia hizo pete mbili katika ncha mbili za hicho kifuko.