Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 24:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Musa akapanda mlimani, lile wingu likaufunikiza mlima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mose akaenda mlimani, na wingu likaufunika mlima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mose akaenda mlimani, na wingu likaufunika mlima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mose akaenda mlimani, na wingu likaufunika mlima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa alipopanda juu mlimani, wingu liliufunika huo mlima,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa alipopanda juu mlimani, wingu liliufunika huo mlima,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa akapanda mlimani, lile wingu likaufunikiza mlima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 24:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Sulemani akanena, BWANA alisema ya kwamba atakaa katika giza nene.


Ikawa siku ya tatu, wakati wa asubuhi, palikuwa na ngurumo na umeme, na wingu zito juu ya mlima, na sauti ya baragumu iliyolia sana. Watu wote waliokuwa kituoni wakatetemeka.


BWANA akaushukia mlima, juu ya kilele cha mlima; BWANA akamwita Musa aende hata kilele cha mlima; Musa akapanda juu.


BWANA akamwambia Musa, Tazama, mimi naja kwako katika wingu zito ili watu hawa wasikie nitakaposema nawe, nao wapate kukuamini nawe hata milele. Musa akamwambia BWANA hayo maneno ya watu.


Na huo utukufu wa BWANA ukakaa juu ya mlima wa Sinai; lile wingu likaufunikiza siku sita; na siku ya saba akamwita Musa toka kati ya lile wingu.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.