Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 23:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usipotoe hukumu ya mtu maskini katika neno lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Usiipotoshe haki anayostahili maskini katika kesi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Usiipotoshe haki anayostahili maskini katika kesi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Usiipotoshe haki anayostahili maskini katika kesi yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usipotoe hukumu ya mtu maskini katika neno lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 23:6
23 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; aiweni waangalifu katika jambo mtendalo, kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu hakuna upotoshaji wala kupendelea nafsi za watu au kupokea rushwa.


Kama nimeidharau kesi ya mtumishi wangu, au ya kijakazi changu, Waliposhindana nami;


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Usimnyang'anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni;


Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Ni waasi kupita kiasi wote pia, waendao huku na huko wakisingizia, ni shaba na chuma hao, hutenda dhuluma wote pia.


kama hamwonei mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, wala kuifuata miungu mingine kwa hasara yenu wenyewe;


Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza kesi wa wenye haki.


Na alaaniwe apotoaye hukumu ya mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe. Na watu wote waseme, Amina.


Ila wanawe hawakuenda katika njia zake, bali waliziacha, ili wapate faida; wakapokea rushwa, na kupotosha hukumu.