Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 23:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiwe na upendeleo katika kesi ya maskini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiwe na upendeleo katika kesi ya maskini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiwe na upendeleo katika kesi ya maskini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 23:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Usipotoe hukumu ya mtu maskini katika neno lake.


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Usimnyang'anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni;


Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao sheria za kudhulumu;


Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.


Maana mimi najua jinsi maasi yenu yalivyo mengi, na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa; ninyi mnaowaonea wenye haki, mnaopokea rushwa, na kuwageuza wahitaji langoni wasipate haki yao.


Msitazame nafsi za watu katika hukumu; muwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu yeyote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.


Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza kesi wa wenye haki.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.