Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 2:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu akawaona wana wa Israeli, na Mungu akawaangalia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu aliwaangalia Waisraeli, akaona kuwa hali yao ni mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu aliwaangalia Waisraeli, akaona kuwa hali yao ni mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu aliwaangalia Waisraeli, akaona kuwa hali yao ni mbaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Mungu akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Mungu akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu akawaona wana wa Israeli, na Mungu akawaangalia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 2:25
16 Marejeleo ya Msalaba  

Labda BWANA atayaangalia mabaya yaliyonipata, naye BWANA atanilipa mema kwa sababu ya kunilaani kwake leo.


Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, Mimi nimefanya dhambi, na kuyapotosha hayo yaliyoelekea, Wala sikulipizwa jambo hilo;


Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.


Umeona, maana unaangalia matatizo na dhiki, Uyatwae mkononi mwako. Mtu duni hukuachia nafsi yake, Maana umekuwa msaidizi wa yatima.


Wala hukunitia mikononi mwa adui; Miguu yangu umeisimamisha mahali penye usalama.


Umtwike BWANA mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.


Basi akatokea mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.


Musa akamwambia mkwewe mambo hayo yote BWANA aliyomtenda Farao na Wamisri kwa ajili ya Israeli, na mambo mazito yote yaliyowapata njiani, na jinsi BWANA alivyowaokoa.


Basi, tazama, kilio cha wana wa Israeli kimenifikia; tena nimeyaona hayo mateso ambayo Wamisri wanawatesa.


Watu wakaamini, na waliposikia ya kuwa BWANA amewajia wana wa Israeli, na ya kuwa ameyaona mateso yao, wakainamisha vichwa vyao wakasujudu.


Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Hakika nimeona mateso ya watu wangu waliomo Misri, nimesikia kuugua kwao, nami nimeshuka niwatoe. Basi sasa, nitakutuma mpaka Misri.


Tukamlilia BWANA, Mungu wa baba zetu; BWANA akasikia sauti yetu, akaona na taabu yetu, na kazi yetu, na kuonewa kwetu.


Akaweka nadhiri, akasema, Ee BWANA wa majeshi, ikiwa wewe utayaangalia mateso la mjakazi wako, na kunikumbuka, wala usinisahau mimi mjakazi wako, na kunipa mimi mjakazi wako mtoto wa kiume, ndipo mimi nitakapompa BWANA huyo mtoto siku zote za maisha yake, wala wembe hautamfikia kichwani kamwe.