Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 2:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi akatazama huku na huko, na alipoona ya kuwa hapakuwapo mtu, akampiga na kumwua Mmisri yule, akamfukia mchangani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akatazama huku na huko, na alipoona kwamba hakuna mtu karibu, alimuua yule Mmisri na kumficha mchangani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akatazama huku na huko, na alipoona kwamba hakuna mtu karibu, alimuua yule Mmisri na kumficha mchangani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akatazama huku na huko, na alipoona kwamba hakuna mtu karibu, alimuua yule Mmisri na kumficha mchangani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa akatazama huku na huko asione mtu yeyote, akamuua yule Mmisri, akamficha kwenye mchanga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa akatazama huku na huko asione mtu yeyote, akamuua yule Mmisri, akamficha mchangani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akatazama huku na huko, na alipoona ya kuwa hapakuwapo mtu, akampiga na kumwua Mmisri yule, akamfukia mchangani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 2:12
1 Marejeleo ya Msalaba