Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 2:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 2:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


yule Hadadi alikimbia, yeye na Waedomi wengine, watumishi wa baba yake, pamoja naye, waende Misri; yule Hadadi angali ni mtoto mdogo.


Na jina la mke wa Amramu aliitwa Yokebedi, binti wa Lawi, ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amramu Haruni, na Musa, na Miriamu dada yao.