Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 18:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha Musa akaagana na mkwewe; naye akaenda zake, mpaka nchi yake mwenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kufanya hivyo, Mose na mkwewe wakaagana naye Yethro akarudi nchini kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kufanya hivyo, Mose na mkwewe wakaagana naye Yethro akarudi nchini kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kufanya hivyo, Mose na mkwewe wakaagana naye Yethro akarudi nchini kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Musa akaagana na Yethro baba mkwe wake, naye akarudi kwa nchi yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Musa akaagana na Yethro baba mkwe wake, naye akarudi kwa nchi yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Musa akaagana na mkwewe; naye akaenda zake, mpaka nchi yake mwenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 18:27
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakampeleka Rebeka dada yao, na yaya wake, na mtumishi wa Abrahamu, na watu wake.


Labani akaondoka asubuhi na mapema, akawabusu wanawe na binti zake, akawabariki; kisha Labani akaenda zake, akarudi kwao.


Kisha hapo mtu huyo alipoinuka ili aende zake, yeye na suria wake, na mtumishi wake, huyo mkwewe, baba yake mwanamke, akamwambia, Tazama mchana wakaribia jioni, tafadhali kaa usiku kucha; tazama mchana wakaribia mwisho wake, lala hapa, ili moyo wako ufurahi; hata kesho uende zako asubuhi na mapema, ili upate kwenda kwenu.


Basi akatoka pale alipokuwa akiishi, na wakweze wawili pamoja naye; wakashika njia ili kurudi mpaka nchi ya Yuda.