Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 18:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yethro akamwambia Mose, “Unavyofanya si vizuri!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baba mkwe wa Musa akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baba mkwe wa Musa akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkwewe Musa akamwambia, Jambo hili ufanyalo si jema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 18:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa umrudishe mwanamke kwa mtu huyo, maana yeye ni nabii, naye atakuombea, upate kuishi. Bali usipomrudisha, fahamu ya kwamba kwa hakika utakufa wewe na watu wote ulio nao.


wakiwa na neno, hunijia; nami naamua kati ya mtu na mwenziwe, nami nawajulisha amri za Mungu, na sheria zake.


Kwa kweli utajidhoofisha mwenyewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.


Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.


Wale Kumi na Wawili wakawaita jamii ya wanafunzi, wakasema, Haipendezi sisi kuliacha neno la Mungu na kuhudumu mezani.