Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 18:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akamjibu mkwewe, “Kwa sababu watu huja kwangu kuuliza matakwa ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akamjibu mkwewe, “Kwa sababu watu huja kwangu kuuliza matakwa ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akamjibu mkwewe, “Kwa sababu watu huja kwangu kuuliza matakwa ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 18:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mkwewe Musa alipoyaona yote aliyowafanyia watu, akasema, Ni jambo gani hili uwatendealo hao watu? Kwani wewe kuketi hapo peke yako, na watu wote kusimama kwako tangu asubuhi hata jioni?


Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.


Basi Musa akaleta neno lao mbele ya BWANA


Basi walikuwako wanaume kadhaa waliokuwa na unajisi kwa ajili ya maiti wa mtu, hata wasiweze kuishika Pasaka siku hiyo; nao wakaenda mbele ya Musa na Haruni, siku hiyo hao watu wakamwambia,


Musa akawaambia, Ngojeni hapo; hata nipate sikiza BWANA atakaloagiza juu yenu.


Ikawa baada ya kufa kwake Yoshua, wana wa Israeli wakamwuliza BWANA, wakisema, Ni nani atakayekwea kwanza kwa ajili yetu juu ya Wakanaani, ili kupigana nao?