Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yahweh-nisi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akajenga madhabahu na kuiita, “Mwenyezi-Mungu ni Bendera Yangu”,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akajenga madhabahu na kuiita, “Mwenyezi-Mungu ni Bendera Yangu”,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akajenga madhabahu na kuiita, “Mwenyezi-Mungu ni Bendera Yangu”,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yahweh-nisi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 17:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye akamjengea BWANA madhabahu huko alikomtokea.


Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; Betheli ilikuwa upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.


Abrahamu akapaita mahali hapo Yehova-yire, kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.


Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.


Umewapa wakuogopao bendera, Ili itwekwe kwa ajili ya kweli.


Basi Musa akayaandika maneno yote ya BWANA, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya makabila kumi na mawili ya Israeli,


Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita; urefu wake utakuwa ni dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano; hiyo madhabahu itakuwa mraba; na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.


Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa BWANA.


Ndipo Gideoni akamjengea BWANA madhabahu hapo, akaiita jina lake, Yehova-Shalomu; hata hivi leo iko huko katika Ofra ya Waabiezeri.