Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 16:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mkutano mzima wa wana wa Israeli ukawanung'unikia Musa na Haruni, huko barani;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, jumuiya yote ya Waisraeli ikawalalamikia Mose na Aroni huko jangwani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, jumuiya yote ya Waisraeli ikawalalamikia Mose na Aroni huko jangwani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, jumuiya yote ya Waisraeli ikawalalamikia Mose na Aroni huko jangwani,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huko jangwani, jumuiya yote wakawanung’unikia Musa na Haruni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanung’unikia Musa na Haruni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mkutano mzima wa wana wa Israeli ukawanung'unikia Musa na Haruni, huko barani;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 16:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa wazee, watu wote waliotoka pande zote.


Lakini punde wakayasahau matendo yake, Wakakosa kungojea ushauri wake.


Bali wakanung'unika hemani mwao, Wala hawakuisikiliza sauti ya BWANA.


Baba zetu katika Misri Hawakuzingatia matendo yako ya ajabu; Hawakukumbuka wingi wa fadhili zako; Wakaasi penye bahari, Bahari ya Shamu.


Wakamwambia Musa, Je! Kwa sababu hapakuwa na makaburi katika Misri umetutoa huko ili tufe jangwani? Mbona umetutendea haya, kututoa katika nchi ya Misri?


Ndipo watu wakamnung'unikia Musa, wakisema, Tunywe nini?


Watu wakawa na kiu huko; nao wakamnung'unikia Musa, wakasema, Mbona umetupandisha kutoka Misri, kutuua sisi na watoto wetu na wanyama wetu kwa kiu?


wakawaambia, BWANA awaangalie na kuamua; kwa kuwa mmefanya harufu yetu kuwa chukizo mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, mkatia upanga mikononi mwao, watuue.


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;


Wala msinung'unike, kama wengine wao walivyonung'unika, wakauawa na mharibifu.