Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 15:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA ni mtu wa vita, BWANA ndilo jina lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu ni shujaa vitani; Mwenyezi-Mungu ndilo jina lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu ni shujaa vitani; Mwenyezi-Mungu ndilo jina lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu ni shujaa vitani; Mwenyezi-Mungu ndilo jina lake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu ni shujaa wa vita; Mwenyezi Mungu ndilo jina lake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana ni shujaa wa vita; bwana ndilo jina lake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA ni mtu wa vita, BWANA ndilo jina lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 15:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani Mfalme wa utukufu? BWANA mwenye nguvu, hodari, BWANA hodari wa vita.


Jifungie upanga wako pajani, wewe uliye hodari, Utukufu ni wako na fahari ni yako.


Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye Juu, juu ya nchi yote.


BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.


Akayakwamisha magurudumu ya magari yao, hata yakaenda kwa shida; na Wamisri wakasema, Na tuwakimbieni Waisraeli; kwa kuwa BWANA anawapigania.


Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake ni nani? Niwaambie nini?


Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.


Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.


BWANA atatokea kama shujaa; Ataamsha wivu kama mtu wa vita; Atalia, naam, atapiga kelele; Atawatenda adui zake mambo makuu.


Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.


BWANA alitendaye jambo hili, BWANA aliumbaye ili alithibitishe; BWANA ndilo jina lake; asema hivi,