Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 12:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla Pasaka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mtumwa yeyote aliyenunuliwa kwa fedha, baada ya kumtahiri, ataruhusiwa kushiriki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mtumwa yeyote aliyenunuliwa kwa fedha, baada ya kumtahiri, ataruhusiwa kushiriki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mtumwa yeyote aliyenunuliwa kwa fedha, baada ya kumtahiri, ataruhusiwa kushiriki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla Pasaka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 12:44
3 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Abrahamu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.


Lakini kuhani akinunua mtu yeyote kwa fedha zake, yeye atakula katika hicho; na hao waliozaliwa nyumbani mwake watakula katika chakula chake.