Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akatoka kwa Farao, na kumwomba BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mose akaondoka kwa Farao, akaenda kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Musa akaondoka kwa Farao akamwomba Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Musa akaondoka kwa Farao akamwomba bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatoka kwa Farao, na kumwomba BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 10:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaugeuza upepo wa magharibi wenye nguvu nyingi, ambao uliwaondoa wale nzige na kuwapeleka katika Bahari ya Shamu; hakusalia hata nzige mmoja ndani ya mipaka yote ya Misri.


Basi Musa na Haruni wakatoka kwa Farao; Musa akamlilia BWANA katika jambo la hao vyura aliokuwa amewaleta juu ya Farao.


Ndipo Farao akawaita Musa na Haruni na kuwaambia, Mwombeni BWANA, ili awaondoe vyura hawa kwangu mimi na kwa watu wangu; nami nitawapa watu ruhusa waende zao, ili wamtolee BWANA dhabihu.


Musa akamwambia Farao, Haya, ujitukuze juu yangu katika jambo hili; sema ni lini unapotaka nikuombee wewe, na watumishi wako, na watu wako, ili hao vyura waangamizwe watoke kwako wewe na nyumba zako, wakae ndani ya mto tu.


Ndipo watu wakamlilia Musa; naye Musa akamwomba BWANA, na ule moto ukakoma.


lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,


wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.