Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 6:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yafungeni katika mikono yenu na kuyavaa katika vipaji vya nyuso zenu kama ukumbusho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yafungeni katika mikono yenu na kuyavaa katika vipaji vya nyuso zenu kama ukumbusho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yafungeni katika mikono yenu na kuyavaa katika vipaji vya nyuso zenu kama ukumbusho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 6:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaifanya iwe sikukuu kwa BWANA; mtaifanya iwe sikukuu katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele


Jambo hilo litakuwa ni ishara mkononi mwako, na utepe katikati ya macho yako; kwa kuwa BWANA alitutoa Misri kwa uwezo wa mkono wake.


Nayo itakuwa ishara kwako katika mkono wako, na kwa ukumbusho kati ya macho yako, ili kwamba sheria ya BWANA ipate kuwa kinywani mwako; kwani BWANA alikuondoa utoke Misri kwa mkono wenye uwezo.


Rehema na kweli zisiachane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.


Yafunge hayo katika moyo wako daima; Jivike hayo shingoni mwako.


Zifunge katika vidole vyako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.


Tena matendo yao yote huyatenda ili kutazamwa na watu; kwa kuwa hupanua hirizi zao, huongeza matamvua yao;


Kwa hiyo yawekeni maneno yangu mioyoni mwenu na rohoni mwenu; yafungeni yawe dalili juu ya mikono yenu, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yenu.


Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo tuliyoyasikia tusije tukayakosa.