Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 6:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena itakuwa haki kwetu, tukizingatia kufanya maagizo haya yote mbele ya BWANA, Mungu wetu, kama alivyotuagiza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za bwana Mwenyezi Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena itakuwa haki kwetu, tukizingatia kufanya maagizo haya yote mbele za BWANA, Mungu wetu, kama alivyotuagiza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 6:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake.


Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake.


tena ikiwa amezifuata sheria zangu, na kuzishika hukumu zangu; mtu huyu ni mwenye haki; hakika ataishi, asema Bwana MUNGU.


Nikawapa amri zangu, na kuwaonesha hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda.


Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na maagizo yangu yeyote atakayefanya hivyo ataishi; mimi ndimi BWANA.


Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.


Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo.


Sharti umrudishie rehani lichwapo jua, apate kulala na mavazi yake, na kukubarikia; nayo itakuwa ni haki kwako mbele za BWANA, Mungu wako.


Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.