Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 5:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“ ‘Usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“ ‘Usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“‘Usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala usimshuhudie jirani yako uongo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 5:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.


Usimshuhudie jirani yako uongo.


Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


Akamwambia, Zipi? Yesu akasema, Ni hizi, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo,