Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 5:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala usizini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“ ‘Usizini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“ ‘Usizini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“‘Usizini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usizini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usizini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala usizini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 5:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akatuma wajumbe, akamtwaa; naye akaingia kwake; naye akalala naye; (maana yule mwanamke amekwisha kutakasika unajisi wake); kisha akarudi nyumbani kwake.


Hapana neno ila kuapa kwa uongo, na kuvunja ahadi, na kuua, na kuiba, na kuzini; huruka mpaka, na kumwaga damu mfululizo.


Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Akamwambia, Zipi? Yesu akasema, Ni hizi, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo,


Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako.


Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yoyote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.