Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 4:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na torati Musa aliyowawekea wana wa Israeli ni hii;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hii ndiyo sheria ambayo Mose aliwapa Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hii ndiyo sheria ambayo Mose aliwapa Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hii ndiyo sheria ambayo Mose aliwapa Waisraeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hii ndiyo sheria Musa aliyoweka mbele ya Waisraeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hii ndiyo sheria Musa aliyoweka mbele ya Waisraeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na torati Musa aliyowawekea wana wa Israeli ni hii;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 4:44
14 Marejeleo ya Msalaba  

na sheria, na hukumu, na torati, na amri, alizowaandikia, hizo ndizo mtakazozishika na kuzifanya hata milele; wala msiche miungu mingine.


Haya ndiyo maagizo, BWANA aliyomwagiza Musa kwa ajili ya wana wa Israeli katika mlima wa Sinai.


Ikumbukeni Torati ya Musa, mtumishi wangu, niliyomwamuru huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote, naam, amri na hukumu.


Haya ndiyo maagizo na hukumu, ambayo BWANA aliwaagiza wana wa Israeli, kwa mkono wa Musa, hapo katika nchi tambarare za Moabu, karibu na Yordani, hapo Yeriko.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


ni ng'ambo ya Yordani katika nchi ya Moabu, alipoanza Musa kufunua torati hii, akisema,


Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.


uyaandike maneno yote ya torati hii juu yake, utakapokwisha kuvuka; ili upate kuingia nchi akupayo BWANA, Mungu wako, nchi imiminikayo maziwa na asali, kama alivyokuahidi BWANA, Mungu wa baba zako.


Kisha, andika juu ya mawe hayo maneno ya torati hii yote, waziwazi sana.


Musa alituagiza torati, Ni urithi kwa mkutano wa Yakobo.


nayo ni hii, Beseri ya barani iliyo katika nchi tambarare, kwa Wareubeni; na Ramothi iliyo Gileadi, kwa Wagadi; na Golani iliyo Bashani, kwa Wamanase.


haya ndiyo maagizo, amri na hukumu, Musa alizowaambia wana wa Israeli walipotoka Misri;


Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao wana wa Israeli waliwapiga na kuimiliki nchi yao ng'ambo ya pili ya Yordani, upande wa maawio ya jua, kutoka bonde la Amoni mpaka mlima wa Hermoni, na nchi yote ya Araba upande wa mashariki;