Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 33:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 33:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Yuda, ndugu zako watakusifu, Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watakuinamia.


Haya ndiyo majina ya wanaume watakaokusaidia; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.