Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 33:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Musa alituagiza torati, Ni urithi kwa mkutano wa Yakobo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose alituamuru tutii sheria; kitu cha thamani kuu cha taifa letu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose alituamuru tutii sheria; kitu cha thamani kuu cha taifa letu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose alituamuru tutii sheria; kitu cha thamani kuu cha taifa letu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

sheria ile Musa aliyotupatia sisi, tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

sheria ile Musa aliyotupa sisi, tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa alituagiza torati, Ni urithi kwa mkutano wa Yakobo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 33:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Hulitangaza neno lake kwa Yakobo, Na amri zake na hukumu zake kwa Israeli.


Hizi ni amri, maagizo na sheria, BWANA alizozifanya kati ya yeye na hao wana wa Israeli katika huo mlima wa Sinai kwa mkono wa Musa.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Je! Musa hakuwapa torati? Wala hakuna mmoja wenu aitendaye torati. Mbona mnatafuta kuniua?


Msiliongeze neno ninalowaamuru wala msilipunguze, mpate kuzishika amri za BWANA, Mungu wenu, ninazowaamuru.