Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 30:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Amri ninazowapa leo si ngumu mno kwenu, wala haziko mbali nanyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Amri ninazowapa leo si ngumu mno kwenu, wala haziko mbali nanyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Amri ninazowapa leo si ngumu mno kwenu, wala haziko mbali nanyi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana maagizo haya nikuagizayo leo, si mazito mno kwako, wala si mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 30:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikusema kwa siri, katika mahali pa nchi ya giza; sikuwaambia wazao wa Yakobo; Nitafuteni bure; Mimi, BWANA, nasema ukweli; nanena mambo ya haki.


ukiwa utaifuata sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha torati; ukimwelekea BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote.


Si mbinguni, hata useme, Ni nani atakayetupandia mbinguni akatuletee, aje atuambie tusikie, tupate kuyafanya?