Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 3:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

(na hiyo Hermoni Wasidoni huiita Sirioni, na Waamori huiita Seniri);

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

(na hiyo Hermoni Wasidoni huiita Sirioni, na Waamori huiita Seniri);

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 3:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa nusu kabila la Manase walikaa katika nchi; nao wakaongezeka kutoka Bashani mpaka Baal-hermoni, na Seniri, na mlima Hermoni.


Ni kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni. Maana huko ndiko BWANA alikoamuru baraka, Naam, uzima hata milele.


Airusharusha Lebanoni kama ndama wa ng'ombe; Lebanoni na Sirioni kama mwananyati.


Nafsi yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo nitakukumbuka, Toka nchi ya Yordani, na Mahermoni, na toka kilima cha Mizari.


Kaskazini na kusini ndiwe uliyeziumba, Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.


Bibi arusi, njoo pamoja nami toka Lebanoni, Pamoja nami toka Lebanoni. Shuka kutoka kilele cha Amana, Kutoka vilele vya Seniri na Hermoni; Kutoka mapangoni mwa simba, Kutoka milimani mwa chui.


Mbao zako zote wamezifanya kwa misonobari itokayo Seniri; wametwaa mierezi ya Lebanoni ili kukufanyia mlingoti;


tangu kilima cha Halaki, kiendeleacho upande wa Seiri, mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni chini ya kilima cha Hermoni; naye akawatwaa wafalme wao wote, akawapiga, na kuwaua.