Lakini mahali pa juu hapakuondolewa; wala mioyo ya watu bado haijakazwa kwa Mungu wa baba zao.
Kumbukumbu la Torati 29:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC yale majaribu makuu yaliyoyaona macho yako; hizo ishara, na ile miujiza mikuu; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mliona maafa makubwa, ishara na maajabu aliyotenda. Biblia Habari Njema - BHND Mliona maafa makubwa, ishara na maajabu aliyotenda. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mliona maafa makubwa, ishara na maajabu aliyotenda. Neno: Bibilia Takatifu Kwa macho yenu wenyewe mliona yale majaribu makubwa, ishara zile za miujiza na maajabu makubwa. Neno: Maandiko Matakatifu Kwa macho yenu wenyewe mliona yale majaribu makubwa, ishara zile za miujiza na maajabu makubwa. BIBLIA KISWAHILI yale majaribu makuu yaliyoyaona macho yako; hizo ishara, na ile miujiza mikuu; |
Lakini mahali pa juu hapakuondolewa; wala mioyo ya watu bado haijakazwa kwa Mungu wa baba zao.
Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.
Sikilizeni neno hili, enyi watu wajinga msio na ufahamu; mlio na macho ila hamuoni; mlio na masikio ila hamsikii.
Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.
Musa akawaita Israeli wote akawaambia, Mmeyaona yote BWANA aliyomfanya Farao katika nchi ya Misri mbele ya macho yenu, yeye na watumwa wake wote, na nchi yake yote;