Kumbukumbu la Torati 29:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC
Haya ndiyo maneno ya agano BWANA alilomwamuru Musa alifanye na wana wa Israeli katika nchi ya Moabu, pamoja na agano alilofanya nao Horebu.
Tazama sura
Matoleo zaidi
Haya ni maneno ya agano ambalo Mwenyezi-Mungu aliwaamuru Mose kufanya na Waisraeli katika nchi ya Moabu, licha ya agano Mwenyezi-Mungu alilofanya nao mlimani Horebu.
Tazama sura
Haya ni maneno ya agano ambalo Mwenyezi-Mungu aliwaamuru Mose kufanya na Waisraeli katika nchi ya Moabu, licha ya agano Mwenyezi-Mungu alilofanya nao mlimani Horebu.
Tazama sura
Haya ni maneno ya agano ambalo Mwenyezi-Mungu aliwaamuru Mose kufanya na Waisraeli katika nchi ya Moabu, licha ya agano Mwenyezi-Mungu alilofanya nao mlimani Horebu.
Tazama sura
Haya ndio maneno ya agano Mwenyezi Mungu alilomwagiza Musa kufanya na Waisraeli huko Moabu, yakiwa nyongeza ya agano alilofanya nao huko Horebu.
Tazama sura
Haya ndiyo maneno ya Agano bwana aliyomwagiza Musa kufanya na Waisraeli huko Moabu, kuwa nyongeza ya Agano alilofanya nao huko Horebu.
Tazama sura
Haya ndiyo maneno ya agano BWANA alilomwamuru Musa alifanye na wana wa Israeli katika nchi ya Moabu, pamoja na agano alilofanya nao Horebu.
Tazama sura
Tafsiri zingine