Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 28:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Miji yenu itabarikiwa na mashamba yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Miji yenu itabarikiwa na mashamba yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Miji yenu itabarikiwa na mashamba yenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 28:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaka huo Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, naye akapata mavuno mara mia zaidi. BWANA akambariki.


Ikawa tokea wakati alipomweka kuwa msimamizi wa nyumba yake, na vyote vilivyomo, BWANA akabariki nyumba ya yule Mmisri kwa ajili ya Yusufu. Baraka za BWANA zikawa juu ya vyote alivyokuwa navyo katika nyumba, na katika shamba.


Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya torati, aliyararua mavazi yake.


Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Je, Mbegu ingali ghalani? Naam, huo mzabibu, wala mtini, wala mkomamanga, wala mzeituni, haikuzaa kitu; tangu siku hii ya leo nitawabariki.


BWANA akubariki, na kukulinda;


Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.


Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, kuongezeka kwa ng'ombe wako, na wadogo wa kondoo wako.