Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 23:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena uwe na mahali nje ya kituo, kwa kutokea nje;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Lazima muwe na mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda haja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Lazima muwe na mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda haja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Lazima muwe na mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda haja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tengeni mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda kujisaidia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tengeni mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda kujisaidia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena uwe na mahali nje ya kituo, kwa kutokea nje;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 23:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtu yeyote akitokwa na shahawa yake, ndipo ataoga mwili wake wote majini, naye atakuwa najisi hadi jioni.


lakini na iwe ikaribiapo jioni, yeye ataoga maji; na jua likiisha kuchwa ataingia ndani ya kituo.


nawe uwe na jembe dogo katika silaha zako; napo uotamapo nje uchimbe kwa lile jembe, na kugeuka na kukifunika kikutokacho;