Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kumbukumbu la Torati 20:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utaifanyia vivyo hivyo miji yote iliyo mbali sana nawe, isiyokuwa miji ya mataifa haya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndivyo mtakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na nchi mtakayoimiliki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndivyo mtakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na nchi mtakayoimiliki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndivyo mtakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na nchi mtakayoimiliki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote iliyo mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utaifanyia vivyo hivyo miji yote iliyo mbali sana nawe, isiyokuwa miji ya mataifa haya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kumbukumbu la Torati 20:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawapa amri zangu, na kuwaonesha hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda.


lakini wanawake na watoto, na wanyama wa miji, na vilivyo mjini vyote, navyo ni nyara zake zote, uvitwae viwe mateka kwako; nawe utakula nyara za adui zako alizokupa BWANA, Mungu wako.


Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo BWANA, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu chochote kipumzikacho;


Nao wakamjibu Yoshua, na kusema, Ni kwa sababu ya sisi watumishi wako kuambiwa hakika, jinsi huyo BWANA, Mungu wako alivyomwamuru mtumishi wake Musa kuwapa ninyi nchi hii yote, na kuwaangamiza wenyeji wote wa nchi hii watoke mbele zenu; kwa sababu hii tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, nasi tumefanya neno hili.


Nao wakamwambia, Sisi watumishi wako tunatoka nchi iliyo mbali sana, kwa sababu ya jina la BWANA, Mungu wako; kwa kuwa sisi tumesikia sifa zake, na habari ya hayo yote aliyofanya huko Misri,